Category: Biashara
Nchi imetafunwa!
*Hazina yatumia Shilingi bilioni 8, taasisi za umma
zachangishwa, ‘wajanja’ watafuna mamilioni
*Vifaa vya Obama vyaokoa jahazi, sare, mikoba, vyagharimu
mil. 400/-, vinyago navyo balaa!
*Karamu, chupa za kahawa, miavuli mil. 390/-,
Burudani ya muziki yatafuna milioni 195/-
*Dewji agoma kuchangia, Katibu Mkuu Haule
arushiwa kombora, yeye ajitetea
Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), uliomalizika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, umeigharimu Serikali Sh bilioni nane.
TBS yaendelea kudhibiti bidhaa feki
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, amesema shirika hilo limeteketeza nondo tani 500 zenye thamani ya Sh bilioni 8, baada ya kubaini hazina ubora unaotakiwa kwa ajili ya matumizi ya ujenzi.
Siku za Ekelege TBS zahesabika
Wakati wowote kuanzia sasa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) aliyesimamishwa kazi mwaka mmoja uliopita, Charles Ekelege atapandishwa kizimbani kujibu tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya ofisi.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
Wafanyabiashara dawa za kulevya watajwa
Watanzania 235 wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nje ya nchi, wamekamatwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi mwaka 2012.
Serikali, wananchi wahimizwa kuwajibika
Shirika la Forum Syd Tanzania limeihimiza Serikali kuhakikisha inatimiza wajibu wake kwa kuwahudumia wananchi ipasavyo, na ameitaka na jamii yenyewe kuhakikisha inawajibika ili kuweza kukabili changamoto za umaskini wa kipato.