Category: Biashara
DECI mpya yaibuka Dar
Kituo cha Mafunzo ya Ujasiriamali Tanzania kilichopo jijini Dar es Salaam, kimeingia katika kashfa ya kuwatapeli wajasiriamali walioshiriki katika semina za ufugaji kwa kuwapa ahadi hewa.
CIDTF: Korosho inaweza kuwainua wakulima
Korosho ni moja ya mazao makuu ya biashara nchini. Kwa sasa zao hili hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania, yaani Lindi na Mtwara ikifuatiwa na Mkoa wa Ruvuma, Pwani na Tanga.
Edwin Butcher: Hatuhusiani na Dk. Amani
Mmiliki wa duka la nyama linaloitwa Edwin Butcher la Rwamishenye, Bukoba, amejitokeza na kusema kuwa bucha yake haina uhusiano wowote na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Bukoba, Dk. Anatory Amani, au udini kama ilivyodaiwa na baadhi ya watu.
Mapapa wa ‘unga’ watajwa
*Kinondoni, Magomeni, Mbezi, Tanga watia fora
*Wamo Wakenya, Wanigeria, waimba taarab Dar
*Wengine wapata dhamana kimizengwe, watoroka
Vita dhidi ya wauzaji na wasafirishaji dawa za kulevya inazidi kupamba moto, na sasa JAMHURI imepata orodha ya watu wengine 245 wanaotajwa kuwa ndiyo ‘mapapa’ wa biashara hiyo haramu hapa nchini.
Wauza unga 250 nchini watajwa
*Soma orodha uone maajabu, wamo masheikh, wachungaji
*Wengi wanatoka Dar es Salaam, Tanga, Zanzibar, Morogoro
*Mahakama yawaweka chini ya uangalizi, wanaripoti polisi
Majina ya Watanzania 255 wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya yamejulikana, na JAMHURI imeamua kuyachapisha. Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa kwenye orodha hiyo wamo watu maarufu na baadhi wamekuwa wakitoa misaada, huku wengine wakijifanya ni wazee wa kanisa na kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii.
Ulaji wa mpya waibuliwa
*Malipo ya ndege utata mtupu
*Wahusika wakalia kuti kavu
*Waziri Membe aingilia kati
Kukiwa na taarifa kwamba uongozi wa juu serikalini umeagiza kuchunguza ulaji wa mamilioni ya shilingi wakati wa Mkutano wa Majadiliano ya Kimataifa ya Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership Dialogue), siri nzito za ufisadi zimeendelea kuanikwa.