JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Vigogo ACT Wazalendo wakutana makao makuu

KAMATI ya Uongozi ya Chama cha ACT-Wazalendo imekutana leo katika Ukumbi wa Juma Duni Haji ulioko katika Jengo la Maalim Seif Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar es salaam. Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu ameongoza kikao hicho kilichojaa…

Gambo amuonya Lema kuacha siasa za propaganda

Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini Mrisho Gambo,amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya kaskazini Godbless Lema kuacha siasa za propaganda badala yake atumie fursa hiyo kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya…

Vyama vya siasa vyakiri 4R za Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa kisiasa

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Vyama vya CUF, UDP, NCCR Mageuzi na NLD wamesema wamevutiwa na namna Serikali ya Awamu ya Sita iliyo chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ya mfumo wa 4R…

Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…

Makamu wa Rais atembelea ujenzi wa ofisi za CCM Micheweni

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea ujenzi wa ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini…

ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa…