JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Zitto awataka Kigoma kupiga kura ya hapana pale CCM wanapobaki pekee

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewataka wananchi kupiga kura za hapana katika mitaa ambayo wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamebakizwa pekee baada ya vyama vya upinzani kuenguliwa. Zitto ametoa wito huo siku ya Jumanne Novemba…

Himahima tujitokeze kwa wingi kupiga kura – Kapinga

📌 Afunga kwa kishindo Kampeni za CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mbinga 📌 Asema CCM ni tumaini la Watanzania; Ipate kura za Ndiyo 📌 Akumbusha kuwa miradi ya maendeleo iliyopo ni kielelezo cha viongozi makini wa CCM Mbunge wa…

Jussa :ACT yajipanga kulinda kura na kuleta maendeleo Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa, amewaomba wananchi wa Mtaa wa Komesho, Kata ya Msambweni, Jimbo la Tanga Mjini na vijiji vya jirani kuwaamini wagombea wa chama hicho kwa kuwapigia kura katika uchaguzi…

Malala : Wagombea CCM wameandaliwa kilamilifu

KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makala amewahakikishia Watanzania kuwa wagombea wanaotokana na Chama hicho katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni wagombea wenye sifa na wako tayari kushiriki kikamilifu katika…

Viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji ndio msingi wa maendeleo, tushiriki uchaguzi

Na Bwanku M Bwanku Nchi yetu kwa sasa inaendelea na michakato mbalimbali kuelekea kwenye tukio kubwa na muhimu la uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu, takribani wiki ikiwa imebaki. Tayari michakato mingi kuelekea tukio hili…

Mchango wa vyama vya siasa katika kumwezesha mwanamke kuwa kiongozi

Na Fauzia Mussa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, inaeleza kuwa uongozi wa kisiasa ni moja ya mlango mkubwa na njia muhimu ya kuwa kiongozi mwenye fursa ya kutoa maamuzi katika nchi. Hadi sasa…