Category: Siasa
HUKUMU YA SUGU, TUNDU LISSU ATEMA CHECHE
Waheshimiwa wangu salaam kutoka Ubelgiji. Nawapeni pole nyingi kwa yaliyomkuta Mh. Sugu na Goddie Masonga siku ya leo(Jana). . Naomba kuzungumzia suala hili kwa kirefu kidogo. . Kwanza, hukumu ya leo sio mwisho wa mjadala mahakamani. Bado kuna fursa, nay…
WANA MBEYA KUPOKEA HUKUMU YA MBUNGE WAO SUGU LEO
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya, leo inatarajia kusoma hukumu ya kesi ya kutumia lugha ya fedeha dhidi ya Rais Dkt John Pombe Magufuli, inayowakabili Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi pamoja na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu…
KAKOBE AICHAMBUA RIPORT YA TRA , NA KUSEMA HAYA
Askofu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe ameeleza kuwa taarifa za kanisa hilo kukwepa kodi zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), hazina ukweli na kuwataka waumini wake kutokubaliana nazo. Askofu kakobe ailyaeleza hayo jana…
KAKOBE AICHAMBUA RIPORT YA TRA , NA KUSEMA HAYA
Askofu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe ameeleza kuwa taarifa za kanisa hilo kukwepa kodi zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), hazina ukweli na kuwataka waumini wake kutokubaliana nazo. Askofu kakobe ailyaeleza hayo jana…
PROF. LIPUMBA AMCHANA LIVE MALIM SELF
Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho hakina nguvu kama awali kutokana na kutoshiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar. Akizungumza leo Februari 24, 2018 katika mkutano wa ndani na wananchama…
DK. MPANGO: WANAUCHUMI MAMBUMBU NDIO WAMETUFIKISHA HAPA TULIPO
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji TIC na Mwenyekiti wa Kamati Uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wachumi Tanzania Economics Society Of Tanzania (EST) Bw. Godfrey Mwambe akipokea katiba ya Chama hicho kutoka kwa Vick Msima Meneja Msaidizi Idara ya…