Category: Siasa
WAZIRI MKUU AIASA JAMII KUMUENZI MZEE MTOPA KWA KUDUMISHA AMANI NA MSHIKAMANO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiasa jamii nchini kujiepusha na migogoro kwa vile haina tija na badala yake idumishe amani, upendo na uadilifu ili kumuezi mwanasiasa mkongwe nchini, marehemu Alhaj Ali Mtopa. Aliyasema hayo jana (Jumatano, Aprili 11, 2018) alipomuwakilisha…
MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA ALI MTOPA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiasa jamii nchini kujiepusha na migogoro kwa vile haina tija na badala yake idumishe amani, upendo na uadilifu ili kumuezi mwanasiasa mkongwe nchini, marehemu Alhaj Ali Mtopa. Aliyasema hayo jana (Jumatano, Aprili 11, 2018) alipomuwakilisha…
Nguvu ya msamaha katika maisha
“Kutokusamehe ni kama kunywa dawa ya panya na kungoja ili panya afe.”- Anne Lamott. Alikuwapo msanii mmoja jina lake aliitwa Pablo Picasso 1881-1973, raia wa Hispania. Msanii huyu alikuwa anataka kuchora kitu kizuri duniani, msanii huyu alimwendea Padre mmoja na…
Wanafunzi ‘Shule ya Waziri Jafo’ wasomea chini ya mti
DODOMA EDITHA MAJURA Shule ya Msingi Nzuguni ‘B’ ya mkoani Dodoma, inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa hivyo kuwalazimu wanafunzi kusoma kwa zamu. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jafo, ndiye…
Hongera Rais John Magufuli
Wiki iliyopita, Rais John Magufuli alipokea ndege aina ya Bombardier Q400 yenye uwezo wa kubeba abiria 70, ikitokea nchini Canada. Katika hafla hiyo, Rais Magufuli akawataka Watanzania kujivunia ndege hiyo ya tatu ikiwa ni miongoni mwa ndege sita alizoahi kuzinunua….