Category: Siasa
Humphrey Polepole Atoa limiti ya Wabunge Wanaotaka Kuhamia CCM
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema wabunge wa upinzani wanaotaka kujiunga na chama hicho mwisho wa kufanya hivyo ni Disemba, 2018. Polepole ametoa kauli hiyo jana Jumapili Oktoba 7, 2018 kupitia…
BAJETI YA UPINZANI YAZUIWA BUNGENI, WENYEWE WASUSA
Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge wa upinzani (isipokuwa wanaomuunga mkono Prof Lipumba ) wameondoka kwenye ukumbi wa Bunge.
CAG Aelezea Wapi trilioni 1.5 Huwenda Zimetumika
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Assad amesema kwamba anaamini kwamba fedha shilingi trilioni 1.5 ambazo hazina maelezo namna zilivyotumika zitakuwa zilitumika katika maeneo mengine ya matumizi ya serikali. Prof. Assad amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na…
MSIINGIZE SIASA SUALA LA MABONDENI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanasiasa wajiepushe na tabia ya kuingiza siasa katika suala la kuwaondoa wananchi waishio mabondeni kwa kuwa jambo hilo linafanywa kwa maslahi ya wananchi wenyewe. Amesema wananchi wengi wamekuwa wakipoteza maisha na mali zao kila…