JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Tibaijuka anguruma

[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16

HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.

Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake

 

Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .

 

Bunge lawakomalia wapangaji NHC

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imepinga maombi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Taifa (NHC) ya kuuziwa nyumba wanamoishi.

 

Askari ardhi waanza kuleta mafanikio Dar

Serikali imeajiri askari ardhi 15 na kuwapangia kazi katika manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam. Manispaa zinazounda jiji hilo ni Temeke, Kinondoni na Ilala.

 

Dk. Ulimboka siri zavuja

*Uchunguzi waanza kuleta majibu yenye utata
*Yadaiwa madaktari walimshitukia, wakamteka
*Madaktari wasisitiza serikali haiwezi kujinasua

Siri za uchunguzi wa awali wa tukio la kutekwa na kujeruhiwa kwa Dk. Stephen Ulimboka zimeanza kuvunja, lakini kwa mshangao wa wanaojua kilichotokea, uchunguzi huo unatoa majibu yenye tata.

Kamati ya Jumuiya ya Madaktari Tanzania yapinga Tume

Lifuatalo ni tamko la Jumuiya ya Madaktari Tanzania kwa waandishi wa habari walilolitoa Juni 28, mwaka huu juu ya Tume iliyoundwa na Polisi kuchunguza kutekwa na kupigwa kwa Dk. Stephen Ulimboka.

 

Madaktari wote hatuna imani na Tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi nchini yenye lengo la kuendesha uchunguzi juu ya kutekwa, kunyanyaswa na kupigwa vibaya kwa Dk. Stephen Ulimboka na tunataka chombo huru kiundwe ili kupata ukweli wa tukio hilo.