JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

JK asifu utendaji wa Mchechu NHC

Rais Jakaya Kikwete ameusifu utendaji wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba (NHC), Nehemia Mchechu, kwamba  umerudisha heshima ya shirika hilo.

Ameisifu pia Bodi ya NHC, wafanyakazi wa shirika hilo kwa kutoa ushirikiano mzuri kwa mkurugenzi huyo.

Madudu mengine TTCL

*Wasaini mkataba wa ulaji wa Sh milioni 740 kwa mwaka

*Walishirikiana na maofisa kuweka ‘walinzi hewa’ lindoni

Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), imeingia mkataba wenye utata na kampuni moja ya ulinzi wenye thamani ya Sh milioni 742 kwa mwaka. Utadumu hadi mwaka 2015.

Fisadi wa madini huyu hapa

*Amejenga ghala Chang’ombe, kazi inafanywa kwa siri

*Huyavusha hadi Nairobi kwa kuyaficha kwenye ngoma

Mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia, anaendesha biashara ya siri ya kusafirisha mchanga wenye madini kutoka migodini na kufanya uchenjuwaji katika ghala lake lililopo Dar es Salaam.

NHC yazidi kujiimarisha

*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka

*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.

Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.

Vita mpya ya Nape, Mnyika

Kumekuwapo mvutano kati ya CCM na Chadema kuhusu uamuzi wa CCM kuwaita viongozi wa taasisi mbalimbali za umma, kujieleza kwenye mikutano ya chama hicho. Chadema wanapinga uamuzi huo. Nnape Nnauye (CCM) na John Mnyika (Chadema) wameingia kwenye malumbano. Hii ni moja ya sehemu ya malumbano hayo.

Vita dhidi ya mitondoo mahabusu yaanza

*ADC yasema ni udhalilishaji uliopindukia

Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimetishia kuifikisha Serikali mahakamani, ikiwa haitakomesha utaratibu wa watuhumiwa kujisaidia kwenye mtondoo mbele ya wenzao katika vituo vya polisi nchini.