JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Shaka awatolea uvivu wabadhirifu serikalini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amtoa onyo na kuwatahadharisha wtumishi wote ambao wamepewa dhamana katika Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wasithubutu kufanya…

ACT-Wazalendo yamshauri Jaji Biswalo kujiuzulu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Msemaji wa Sekta ya Katiba na Sheria ya ACT-Wazalendo, Victor Kweka kuwa amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume ya majaji ili kupitia malalamiko ya wananchi waliolipishwa fedha kwa kukiri makosa na kulipa fedha serikalini. Hatua…

Mgombea ajiondoa kwenye uchaguzi kwa kuwaogopa wajumbe

Na Mwandishi Wetu,JmahuriMedia,Babati Mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya uwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Babati vijijini Ezekiel Dangalo ameamua kujitoa katika uchaguzi kwa madai ya kuwa na hofu ya kushindwa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa awali. “Nimeamua…

CHADEMA yaitaka Serikali kutoa sababu za NHIF ‘kufilisika’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka Serikali kutoa sababu zilizosababisha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF) kuwa na hali mbaya ya kifedha. Hayo yamesemwa leo Septemba 20,2022 na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salim Mwalimu…