Category: Siasa
Haki za wanawake zitambuliwe kwenye Katiba
Haki ya mwanamke ni suala linalohitaji kupewe umuhimu wa kipekee katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ujasiriamali waajiri vijana 3,000 Arusha
Wahitimu zaidi ya 3,000 wa mafunzo ya ujasiriamali katika taasisi ya The Fountain Justice Training College ya jijini Arusha, wameweza kujiajiri na hivyo kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana.
Ushindi wa Uhuru Kenyatta ulivyopokewa Kenya
Wafuasi wa Uhuru Kenyatta walijitokeza mwishoni mwa wiki kusherehekea ushindi wake wa kiti cha urais wa Kenya. Uhuru amepata ushindi kwa asilimia 50.03 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Raila Odinga.
Siri za nyumba za mawaziri zavuja
*Baadhi wadaiwa ‘kuzikacha’
Matumizi ya nyumba za mawaziri jijini Dar es Salaam yamegubikwa na siri nzito. Inadaiwa kuwa baadhi ‘wamezitosa’ kwa kisingizio cha kukosa usiri.
Lowassa amponza Kibanda
*Taarifa za awali zahusisha kutekwa na urais 2015
*Risasi aliyopigwa ilifumua jicho, ikatokea kisogoni
Tukio la Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, kutekwa, kupigwa, kung’olewa meno, kukatwa kidole na kung’olewa kucha limeanza kuhusishwa na mlengo wa kisiasa.
Madiwani Biharamulo washtukia ufisadi
Madiwani wa Halmashari ya Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, wameshitukia harufu ya ufisadi katika matengenezo ya gari la Mtendaji Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Nasib Mmbagga. Mkurugenzi huyo amewasilisha mapendekezo ya Sh milioni 67 kwa ajili ya matengenezo ya gari lake lilosajiliwa kwa namba STK 5499 aina ya Toyota Land Cruiser GX V8.