JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Kataeni zawadi ndogo ndogo za wawekezaji – Waziri

Serikali imewaomba wabunge waiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha utaratibu mpya wa kutoa ardhi kwa wawekezaji kwa misingi ya kugawana hisa kwenye Halmashauri za Vijiji unatekelezwa.

Uendelezaji Kigamboni upo palepale – Serikali

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imesema nia ya  kuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni, ipo palepale.

Serikali mdaiwa sugu wa NHC

Kamati ya Bunge imeitaka Serikali ilipe deni la miezi 88 la Sh zaidi ya bilioni 3.145 inazodaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Waziri: Benki zitambue Hatimiliki za Kimila

Serikali imezitaka benki ziwe tayari kupokea Hatimiliki za Kimila kwa ajili ya kuwasaidia wahusika kupata mikopo.

Tibaijuka apinga wananchi kupunjwa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewahimiza wananchi kudai fidia stahiki pale maeneo yao yanapotwaliwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya umma.

Bunduki za mbunge zanaswa kwa ujangili

*Zakutwa kwa msaidizi wake, ahukumiwa miaka miwili

*Mwenyewe atoa shutuma nzito bungeni dhidi ya polisi

Bunduki tatu za Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura, zimekamatwa kwa matukio ya ujangili katika Pori la Selous- Niassa, lililopo Tunduru -mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.