Category: Siasa
Waziri Mku: Tutavuna gesi asilia baada ya miaka kumi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema mavuno ya gesi asilia iliyopo mkoani Mtwara yataanza kupatikana baada ya kipindi kisichopungua miaka kumu.
Sakata la Iddi Simba bado bichi
*Ikulu, ofisi ya CAG washangazwa kuachiwa
*Uamuzi uliofanywa na DPP wazua maswali
Kuachiwa kwa mwanasiasa Iddi Simba, ambaye hivi karibuni alikuwa akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi kabla ya Mkurugenzi wa Mshitaka nchini (DPP), kuamuru awe huru, kumeibua mgongano mkubwa serikalini.
Obama atoboa siri
*Aeleza anavyokunwa na kazi nzuri inayofanywa na Tanzania
*Amsifia Rais Kikwete, aunga mkono Jeshi la Tanzania Congo
*Aeleza wazazi wake walivyoishi Tanzania, JK aishukuru USA
Rais Barack Obama wa Marekani ametua nchini na kupokewa kwa kishindo na kutoboa siri ya anayojua juu ya Tanzania, huku akieleza kuguswa na mapokezi ya aina yake.
LHRC: Tutazidi kumbana Waziri Mkuu
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tanzania kimesema kitazidi kumbana Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, afute kauli yake sambamba na kuwaomba radhi Watanzania.
‘Waliogawa mbegu mbovu Korogwe wakamatwe’
Katika kukomesha vitendo vya hujuma zinazofanywa na watendaji kwa wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo, amemwagiza Mkuu wa Polisi wilayani, Madaraka Majiga, kuwakamata watumishi wa Idara ya Kilimo waliosambaza mbegu mbovu za mahindi kwa wakulina na hivyo kuwasababishia hasara.
Wiki ya ugeni mzito yawadia Tanzania
Wiki moja au siku saba kati ya Juni 27, 2013 na Julai 4, 2013 Tanzania itapata ugeni mzito unaoweza kubadili historia ya nchi hii. Rais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa kuwa mmoja wa wageni watakaofika hapa nchini, kwa nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na Marekani.