Category: Siasa
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Kipande abanwa Bandari
TCAA nako kwafukuta ufisadi
*Wakurugenzi wahariri Waraka wa Hazina
*Mbinu hiyo yawafanya walipane mamilioni
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inakabiliwa na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Fadhil Manongi, hadi wiki iliyopita bado alikuwa akiendelea na dhima za kiofisi licha ya muda wake wa kung’atuka kuwadia.
Wakati Manongi akijiandaa kuiacha ofisi hiyo, kumekuwa na malalamiko ya matumizi mabaya ya fedha miongoni mwa wakurugenzi ambao ni washirika wake.
Siku za Kipande bandarini zahesabika
*Ni baada ya kuthibitika anatumia vibaya jina la Rais Kikwete, Ikulu
*Amuagiza Mwakyembe amchunguze, wafuatilia kumtukana Balozi
* Mtawa, Gurumo nao wakana, Mwakyembe adaiwa kumwogopa
*Aendelea kukaidi maagizo ya Bodi, amng’oa rasmi aliyeomba kazi yake
Na Deodatus Balile
Siku za Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Mzee Madeni Kipande (58), kuendelea kuwa madarakani zinazidi kuyoyoma baada ya Rais Jakaya Kikwete kukerwa na tabia yake ya kutumia jina la Rais kuhalalisha matendo yake yenye kukiuka sheria za utumishi wa umma.
Habari za uhakika kutoka Ikulu na kwa baadhi ya mawaziri waandamizi, zinasema Rais Kikwete baada ya kupata taarifa za Kipande kutumia vibaya jina lake, alichukia na kuamua kumwita Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, na kumpa maagizo mazito.
Habari mpya
- Watu 700 wachunguzwa moyo Arusha
- Israel yasitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza
- ‘Ulaya imeendelea kutegemea silaha kutoka Marekani’
- Papa aendelea vizuri na matibabu
- Rais Dk Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe
- TMA yatoa matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano
- Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema
- Rais Dkt. Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro
- Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika
- TAWA na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Morogoro
- RC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake katika miaka 4 ya uongozi wake
- Rais Mwinyi : Mradi wa EACOP ni kioo cha maendeleo ya sekta ya mafuta Afrika Mashariki
- Mashambulizi ya Urusi yaua watu 25 Ukraine
- Rais Samia : Serikali ina dhamira ya kujenga Tanzania jumuishi yenye ustawi wa haki na kupinga ubaguzi
- Rais Samia: Tanzania imetekeleza malengo 17 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Copyright 2024