Category: Siasa
Putin anakuja Tanzania
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Ni ufisadi wa kutisha Geita
Viongozi wa kijiji wajichotea fedha ‘kiulaini’
Vigogo watatu wa Kijiji cha Mawemeru kilichopo katika Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita, mkoani hapa wanatuhumiwa kujigeuza “Miungu-watu” kwa kutafuna fedha za wanakijiji Sh 50 milioni.
Kwa nafasi hiyo, vigogo hao wanadaiwa kukigeuza kijiji hicho “shamba la bibi” huku wananchi wanaojitokeza kuhoji taarifa ya mapato na matumizi wakitishwa na wengine wakiishia kuswekwa ndani.
Vigogo waliokumbwa na tuhuma hizo ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Agness Matibu, Mwenyekiti wa Kijiji, Mussa Maduhu, pamoja na Mchumi, Philipo Kamuye, ambao, kwa kushirikiana wanadaiwa kutafuna kiasi hicho cha fedha.
Fedha hizo, zaidi ya Sh 50 milioni zinatokana na vyanzo vya ndani vya mapato yatokanayo na kijiji. Kadhalika sehemu ya fedha hizo hutokana na mapato yatokanayo na wawekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi.
Vyanzo vya gazeti hili vilidai kuwa vigogo hao kwa pamoja wameshirikiana kufisadi mapato ya kijiji na kwamba suala lolote linalohusu fedha zitokanazo na vyanzo hivyo, hakuna mwananchi anayeruhusiwa kuhoji na hawajawahi kusomewa taarifa za mapato na matumizi tangu mwaka 2011.
Habari mpya
- Mramba : Biashara ya kuuziana umeme kunufaisha Tanzania
- TMA yatoa tahadhari ya uwepo kwa kimbunga Jude
- Waaswa kuendelea kuchukua tahadhari kujikinga na Marburg
- Majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo yakamilika
- Watu 700 wachunguzwa moyo Arusha
- Israel yasitisha usambazaji wa umeme katika Ukanda wa Gaza
- ‘Ulaya imeendelea kutegemea silaha kutoka Marekani’
- Papa aendelea vizuri na matibabu
- Rais Dk Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe
- TMA yatoa matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano
- Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema
- Rais Dkt. Samia azindua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro
- Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika
- TAWA na Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Morogoro
- RC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake katika miaka 4 ya uongozi wake