Category: Siasa
Polisi ‘walivyoua’ mtoto rumande
Jeshi la polisi limeingia lawamani baada ya kituo kidogo cha polisi Kova – Bwaloni, jijini Dar es Salaam kudaiwa kuchangia kifo cha mtoto wa miezi sita aliyefia rumande baada ya mama yake kuwekwa ndani.
Anguko CCM 2015 litamjenga JK
Kindumbwendumbwe cha uchaguzi kwa ajili ya kuwapata wenyeviti wa serikali za mitaa na wenyeviti wa vitongoji ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umemalizika hivi karibuni. Naam, kuna walioshinda na walioshindwa.
Bosi Shirika la Bima ajikosha
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu, amejitokeza kufafanua shutuma za taasisi hiyo kuuza nyumba zake kwa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) na kukwepa wakazi wanaoishi humo.
Jiji wauza viwanja vya wazi Dar
*Tuhuma za Kabwe zafumua kashfa ya ‘kuuzwa’ bustani
*Ni ya Mtaa wa Samora, ujenzi wafanyika usiku bila kibali
Kashfa mpya Dawa za Kulevya
Kamishna aliyeteuliwa aanza ubadhirifu mali za Tume
*Waziri Lukuvi aapa kufa naye, Yambesi amvutia pumzi
Udini vyuo vikuu
*Serikali yapiga marufuku mitihani Ijumaa, J’mosi
*Wizara yatoa waraka maalumu, ni ushauri wa AG
*Profes Bana, Joseph Selasini waonyesha hofu zao