JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Lowassa vs Membe

 

*Wawili hawa hawagombei ubunge mwaka 2015

*Watano wajitokeza Monduli, Nape aenda Mtama

*Wamo Namelok Sokoine, Kadogoo, Porokwa

Wauza ‘Unga’, wateka nchi

• Majaji, viongozi wa kisiasa watumia sheria kulinda wauzaji
• Sendeka, Bulaya wataka ibadilishwe haraka, waeleza hatari
• Lema, Kiwelu, Nzowa wawaka, Azzan ataka wauzaji wanyongwe
• Watumiaji walia kubaguliwa, Lukuvi aahidi marekebisho

Vita dhidi ya dawa za kulevya nchini inazidi kuwa ngumu na kesi nyingi zinakwama mahakamani kutokana na mfumo mbovu wa kisheria unaotumika kuwalinda wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya, uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini.

Ripoti ya CAG

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni, imevuja.

Mkono kulishwa sumu… Marekani, Uingereza zaibana Tanzania

Serikali za Marekani na Uingereza zimetaka maelezo kutoka Serikali ya Tanzania juu ya madai kwamba

Nyaraka za ufisadi zachomwa Ngorongoro

*Ni wiki moja baada ya vigogo 5 kusimamishwa

*Yaelezwa lengo ni kupoteza ushahidi wa ufisadi

*Majaar akomaa, Nyalandu alinda watuhumiwa

Nyaraka kadhaa muhimu zinazohusu ufisadi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro (NCAA), zimechomwa moto ndani ya ofisi.

Loliondo yageuzwa Kenya

*Siri sasa yafichuka, asilimia 70 si Watanzania

*Uhamiaji Mkoa Arusha lawamani kwa rushwa

 

 

Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Arusha inatuhumiwa kuwa chanzo cha raia wengi wa Kenya kujipenyeza ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kutangaza kuwania nafasi mbalimbali katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba, mwaka huu.