Category: Siasa
Chongolo ayataka mabaraza ya madiwani kuacha kulumbana
Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameyataka mabaraza ya madiwani nchini kufanya kazi za kujadili maslahi ya wananchi na sio kulumbana kwa maslahi yao binafsi. Chongolo amesema hayo jana wakati akizungumza na wanachama wa CCM katika Kijiji…
Chongolo aanza ziara Morogoro,agusia migogoro ya wakulima na wafugaji
…………………………………………………………. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo ameanza ziara ya kikazi leo Januari 28 mkoani Morogoro huku akitumia nafasi hiyo kueleza sababu za kufanya ziara hiyo ndani ya mkoa huo. Aidha amesema pamoja na mambo mengine anatambua mkoa…
Ummy:Ondoeni hofu huduma zinazotolewa Mlongonzila ni bora sana
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amepongeza Menejimenti na watumishi wote katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa kuboresha ubora wa huduma za matibabu kwa wateja katika Hospitali hiyo. Waziri Ummy amesema hayo leo mara baada ya kufanya ziara katika Hospitali…
Jumaa:Twendeni kwenye majukwaa tukaeleze yanayofanywa na Serikali
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC)-Wazazi ,Hamoud Jumaa amewaasa wanaCCM kujipanga kwenda majukwaani kusema makubwa yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita sanjali na utekelezaji wa ilani. Ameeleza ,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fursa…
Mamia wafurika kumpokea Tindu Lissu
Hatimaye Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amewasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Ubelgiji na kupokelewa na wafuasi wa chama hicho. Mwanasiasa huyo nguli wa upinzani ambaye awali alikuwa…
CHADEMA Lindi kushiriki mapokezi ya Lissu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Lindi kimepanga kushiriki mapokezi ya makamu mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho upande wa Tanzania bara,Tundu Lissu. Hayo yameelezwa leo Januari 20,2023 na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi, Zainabu Lipalapi wakati…