JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Sadifa atangaza vita dhidi ya Maalim Seif

 

.Amtuhumu kuwa ni kibaraka wa Waarabu

.Adai Seif akipewa nchi, ataiuza asubuhi

.Rais Dk. Shein amsifu Sadifa hadharani

.CUF waijia juu Polisi, wadai Sadifa ni…

 

 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Khamis Sadifa Juma, ametangaza hadharani vita ya kupambana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad.

Lowassa amtesa JK

Waanza zengwe la tatu bora
Kinana akata mzizi wa fitina

 

 

Taarifa kuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, huenda akaenguliwa iwapo atatangaza nia na kuchukua fomu kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zimezidi kushika kasi.

China kuboresha Makumbusho ya Mwalimu Nyerere

Kwao neno la kwanza kujifunza ni ‘rafiki’ jina la kwanza wanalojua ni ‘Nyerere’

 

Kwa baadhi ya Watanzania, jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, si muhimu sana kwao. Hii pengine inathibitisha ule usemi wa ‘nabii hakubaliki kwao’.

liyepooza miguu, kutimuliwa Bugando apona kwa mganga

Miezi michache baada ya baadhi ya madaktari na wauguzi wa Hospitali Teule ya Bugando kumtimua mgonjwa aliyeoza makalio akiwa wodini, kijana mwingine aliyepooza mwili kuanzia kiunoni hadi miguuni naye ameondolewa.

Msigwa ameshanasa kwa Nyalandu

Jambazi ni jambazi, fisadi ni fisadi, tapeli ni tapeli tu. Madhara ya

vitendo vya watu hawa kwa jamii ni yale yale bila kujali kuwa wanatoka

chama tawala au upinzani. Madhara ya vitendo hivi hayaangalii kuwa mtu

huyu anajifanya mchungaji, askofu au sheikh. Hayaangalii kwamba mtu

huyu anapenda kuuza sura kwenye runinga kiasi gani.

Vigogo wakwamisha vita ya ‘unga’ nchini

• Rais Kikwete asutwa kwa kutochukua hatua
• Kamishna ataka kujiuzia gari la Tume, anena
• Esther Bulaya avamiwa, asema wanalenga watoto

Vita dhidi ya dawa za kulevya nchini inazidi kuwa ngumu kutokana na viongozi wa juu wa nchi kukumbatia uozo, uchunguzi wa JAMHURI umebaini.
Uadilifu na uzalendo vimepotea na mfumo umesukwa kuwawezesha watendaji kufaidi biashara ya dawa za kulevya tofauti na hali ilivyokuwa wakati wa uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere, vyanzo vimethibitisha.