JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

ACT-Wazalendo wataka kutungwa sheria ya kilimo

Na Allan Vicent,JamhuriMedia,Tabora Chama cha ACT-Wazalendo kimeshauri Serikali kutunga sheria ya kilimo na kuweka utaratibu wa kodi kama ilivyo katika sekta ya madini ili kuleta tija na ufanisi ikiwemo kuhimiza kilimo cha umwagiliaji. Ushauri huo umetolewa na kiongozi wa chama…

CHAUMMA: Tunawaomba wadau,wanachama kukichangia chama ili kufanikisha mikutano yake

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewaomba wadau na wanachama wa chama hicho kukichangia chama ili kufanikisha mikutano yake ya hadhara ambayo inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu wa 2023. Tamko hilo limetolewa leo Machi 11, 2023 jijini…

Chongolo amaliza ziara yake Simanjiro kwa stahili hii

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amemaliza ziara yake Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ambapo pamoja na kukagua uhai wa chama sanjali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025. Katibu Mkuu kwa…

Majaliwa : Tutaendelea kuwatumikia Watanzania

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-CCM na wananchi kwa ujumla waendelee kuiamini Serikali yao kwa sababu watendaji wake wamejipanga kuwatumikia kwa weledi, uadilifu na uaminifu wa hali ya juu….