Category: Siasa
ACT Wazalendo : Kipaumbele chetu ni kupigania maboresho mifumo ya uchaguzi nchini
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kipaumbele chake kwa sasa ni kupigania maboresho ya mfumo wa uchaguzi nchini utakaoleta haki, kuheshimiwa maamuzi na matakwa ya wananchi. Ameyasema Februari 24, 2025 Katibu Mkuu wa chama…
ACT -Wazalendo : Mwaka 2025 ni mwaka wa mabadiliko
………………… .Hotuba ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndg. Dorothy Jonas Semu kwa Halmashauri Kuu tarehe 23 Februari, 2025 Ndugu Mwenyekiti wa ChamaNdugu Makamu Mwenyekiti BaraNdugu Makamu Mwenyekiti ZanzibarNdugu Viongozi, wajumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati KuuNdugu Mwenyekiti wa…
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM yasisitiza maadili, haki na kupambana na rushwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwa kinajiandaa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kimesema kitaendelea kutekeleza majukumu yake kwa haki kwa kuzingatia Katiba na kujiepusha na vitendo vya rushwa. Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emanuel Nchimbi,…
NCCR-Mageuzi hatushirikiani na chama chochote katika Uchaguzi wa 2025
Na Magrethy Katengu, JamhuriMediaDar es Salaam CHAMA cha NCCR Mageuzi kimetangaza kutoshirikiana na chama chochote kile cha siasa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 na kusisitiza kusimama wenyewe kwenyek kumpata Rais, wabunge na madiwani. Chama hicho mwaka 2015 waliungana…
Majaliwa: CCM ipo tayari uchaguzi 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahimiza wananchi wa Itilima kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na…
Vilio watia nia CCM
*Ni wanaotaka kugombea udiwani na ubunge katika maeneo mbalimbali *Utitiri wa idadi ya wajumbe wapya wanaopiga kura za maoni yawatisha *Watalazimika kuweka mawakala matawini watakaosimamia kura zao *Mfumo mpya wa mchujo wa majina ya wagombea wageukamwiba kwao Na Mwandishi Wetu,…