Category: Siasa
Gambo amuonya Lema kuacha siasa za propaganda
Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini Mrisho Gambo,amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya kaskazini Godbless Lema kuacha siasa za propaganda badala yake atumie fursa hiyo kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya…
Vyama vya siasa vyakiri 4R za Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa kisiasa
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Vyama vya CUF, UDP, NCCR Mageuzi na NLD wamesema wamevutiwa na namna Serikali ya Awamu ya Sita iliyo chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ya mfumo wa 4R…
Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…
Makamu wa Rais atembelea ujenzi wa ofisi za CCM Micheweni
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametembelea ujenzi wa ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini…
ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa…
Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto
Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa na Kibagwa mkoani Dodoma limepatiwa ufumbuzi wa kudumu na serikali baada ya ujenzi kukamilika. Daraja hilo…