Category: Siasa
ATC Wazalendo : Malengo yetu hayawezi kutimia bila kushriki na kushinda chaguzi
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amefungua mafunzo ya viongozi wa majimbo ya Kanda ya Kati mjini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo Aprili 12, 2025 jijini humo, Ado amewaeleza viongozi wa majimbo yote 25 ya mikoa ya Dodoma, Manyara…
Dk Dimwa : CCM imejipanga kushinda 2025
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema CCM itawachukulia hatua za kimaadili viongozi,watendaji na wanachama watakaobainika kujihusisha na vitendo vya kuhujumu mchakato wa ndani ya Chama wa kura za maoni. Hayo ameyasema wakati akizungumza na Kamati…
Mfupa mgumu ‘No Reforms, No Election’
*Chadema waanza kuzunguka mikoani kufanya mikutano ya kuinadi ‘No Reforms, No Election’ *Butiku asema serikali haiwezi kuacha kufanya Uchaguzi Mkuu kwa sababu ya Chadema *Ananilea asema muda unatosha wa kufanya mabadiliko madogo ya Katiba Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es…
Wasira amchongea ‘Mo Dewj’ kwa Serikali
*Ni baada ya wananchi kulalamika yametekelezwa muda mrefu, yamegeuka maficho ya nyoka *Asema kama ameshindwa kuyaendeleza Serikali iyatumie kwa matumizi mengine *Pia atoa siku 14 kwa mnunuzi wa kahawa kulipa sh milioni 664 za wakulima Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar…
Wasira atoboa siri
*Asema CHADEMA walionyesha ubinafsi bila kujali masilahi ya Watanzania wote *Walitaka wao na CCM pekee washirikiane kuandika Katiba mpya *Asema ‘No reforms, no election’ ni ndoto na kinyume cha Katiba, sheria za nchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwedia, Dar es Salaam Hatimaye siri…
ACT Wazalendo : Kipaumbele chetu ni kupigania maboresho mifumo ya uchaguzi nchini
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kipaumbele chake kwa sasa ni kupigania maboresho ya mfumo wa uchaguzi nchini utakaoleta haki, kuheshimiwa maamuzi na matakwa ya wananchi. Ameyasema Februari 24, 2025 Katibu Mkuu wa chama…