JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Mtazamo

Simba yatinga fainali

Simba Sc imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada ya sare ya bila kufungana na wenyeji wao Stellenbosch katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali uliochezwa leo Uwanjwa wa Moses Mabhiba jijini Durban, Afrika Kusini….

Timu ya Taifa ya Tenis safarini kushiriki mashindano ya dunia

Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya taifa ya mchezo wa tenis imesafiri asubuhi ya leo hii kuelekea nchini bostwana kushiriki mashindano ya Dunia kanda ya tano kwa ukanda wa Afrika. Akizungumza hapo jana katika hafla ya kuagwa kwa…

Yanga yashindwa kuweka historia, Mayele akichukua kiatu cha dhahabu

Klabu ya Yanga imeshindwa kuwa mabingwa licha kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya USM Algers kwenye mchezo wa Fainali kombe la Shirikisho mkondo wa pili mara baada ya matokeo ya kwanza akiwanyumbani kuruhusu kufungwa mabao 2-1. Katika mchezo huo…

Kumiliki laini ya simu zaidi ya moja ni kosa

Na Bashir Yakub, JAMHURI MEDIA Huwa nawaambia kila siku kuwa jambo hadi likukute ndipo utajua kuwa lipo. Na nyote si mnajua kuwa kutokujua sheria si kinga/hoja/udhuru. Hautafikishwa mahakamani ukasema nilikuwa sijui, halipo hilo. Kanuni ya 37 ya GN. No.60/2023 Kanuni…

Robertinho atazamia kuifikisha Simba hatua ya fainali

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Kocha mkuu wa wekundu wa msimbazi Simba SC  Robert Oliviera ‘Robertinho’ amesema kwasasa anataka kucheza hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa  Barani  Afrika. Robertinho ameyasema hayo baada ya kufumua hatua ya robo fainali ya…

Usajiri wa Msonda unavyowapa kiburi Yanga

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Usajili wa mshambuliaji kutoka nchini Zambia Kennedy Musonda wakati wa dirisha dogo umewapa kiburi cha tambo viongozi wa klabu ya Yanga. Afisa habari wa klabu hiyo Ally Kamwe amesema uongozi wa klabu hiyo haukukurupuka kumsajili mshambuliaji…