Category: MCHANGANYIKO
Kibadeni ashirikishwe kukabili rushwa Ligi Kuu
Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar ya Bukoba, King Abdallah Kibadeni (Mputa), amekuwa wa kwanza kuzungumzia hadharani tuhuma za rushwa katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom, Tanzania Bara.
Drogba kustaafu soka kifua mbele?
Nahodha na mshambuliaji mahiri wa timu ya taifa ya Ivory Coast (The Elephants), Didier Drogba, amefanikiwa kupata nafasi ya mwisho ya kucheza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) 2013, zitakazofanyika nchini Afrika Kusini.
Yah: Julius, sisi tunakulilia katika jehanamu
Wiki moja iliyopita tulikuwa tunamkumbuka Julius, Julius Kambarage Nyerere, yule aliyepata kuwa Rais wenu wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius ambaye mimi naweza kumkumbuka vizuri ni yule Waziri Mkuu na baadaye Rais wa Tanganyika kijana kutoka Butiama, mtoto wa Mzee Nyerere Burito na Mama Mugaya wa Nyang’ombe.
Madaraka Nyerere azungumza
Mpenzi msomaji wa JAMHURI, katika toleo lililopita Madaraka Nyerere, ambaye ni mtoto wa Mwalimu Nyerere alielezea masuala mbalimbali kuhusu Mwalimu, familia yake na kutoa mtazamo wake juu ya hali ya maisha ya sasa ya Watanzania baada ya kifo cha baba wa Taifa. Ifuatayo ni sehemu ya mwisho ya makala hiyo…
Rooney kuipaisha Uingereza fainali za Kombe la Dunia
Mwanasoka wa kimataifa wa nchini Uingereza, Wayne Rooney, anayechezea klabu ya Manchester United, anatarajiwa kuongoza kikosi cha England dhidi ya San Marino katika mtanange wa kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia zitakazofanyika nchini Brazil, mwaka 2014.
Serikali iisaidie BFT kuwezesha mabondia
Michuano ya ngumi Afrika inatarajiwa kufanyika Casablanca, Morocco, baadaye mwezi huu, wakati Tanzania imeteua mabondia 13 watakaoiwakilisha huko, baada ya kuonesha uwezo mzuri katika mashindano ya Taifa yaliyofanyika Dar es Salaam, hivi karibuni.