Category: MCHANGANYIKO
Lini viongozi wakuu watakuwa wakuu?
Hatuhitaji ushahidi mwingine wa kutusaidia kutambua kuwa viongozi wetu ni kama wameshindwa kuliongoza Taifa letu. Rushwa na vurugu za kidini katika nchi yetu zilianza kama cheche za moto. Watawala (si viongozi) wakazipuuza. Wakaziacha, na sasa tunayaona matunda yake.
Yah : Mkiamua mnaweza lakini hamuamui Hongereni
Wanangu leo ni siku nyingine ya Jumanne katika wiki hii ambayo ni nadra sana kuifikia, kama hujui kwamba kesho ni mtihani mkubwa kwako kutokana na siri kubwa aliyonayo Mwenyezi Mungu juu yako, ni yule ambaye siyo muumini wa dini yoyote ndiyo anaweza kuwa kichaa asijue hilo.
Lowassa, vita ya siasa na udini
Mpendwa msomaji ni karibu wiki mbili sasa sijaandika safu hii. Nimepata simu, ujumbe mfupi (sms) za kutosha – wengi wakiuliza kulikoni mbona siandiki. Niwaondoe hofu, kuwa kila kitu ni salama tu, isipokuwa mitanziko ya hapa na pale.
Salaam za Maaskofu wa KKKT kwa Watanzania wote kuhusiana na matukio ya kuchoma moto makanisa ya Kikristo eneo la Mbagala, Dar es Salaam
WAPENDWA KATIKA BWANA, Waumini wa KKKT, Wakristo Wote na Watanzania kwa Ujumla. Neema na Iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo, Amina. Sisi maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), tumepokea kwa…
Kibadeni ashirikishwe kukabili rushwa Ligi Kuu
Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar ya Bukoba, King Abdallah Kibadeni (Mputa), amekuwa wa kwanza kuzungumzia hadharani tuhuma za rushwa katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom, Tanzania Bara.
Drogba kustaafu soka kifua mbele?
Nahodha na mshambuliaji mahiri wa timu ya taifa ya Ivory Coast (The Elephants), Didier Drogba, amefanikiwa kupata nafasi ya mwisho ya kucheza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) 2013, zitakazofanyika nchini Afrika Kusini.