Category: MCHANGANYIKO
Taifa Queens kama Stars?
Pamoja na kuwa na kocha mahiri nchini, Kapteni Mary Protas, timu ya taifa ya netiboli Tanzania (Taifa Queens) huenda ikawa kapu la magoli wakati wa Michuano ya Kombe la Afrika itakayotimua vumbi kwa siku tano kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, kuanzia leo.
Wenye CCM nao wameichoka!
Uchaguzi unaoendelea katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unapaswa kuwa funzo maridhawa kwa makada, viongozi na wafuasi wa chama hicho kikongwe.
Yanga kuikata maini Simba?
Hatimaye kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kinafikia tamati Jumamosi wiki hii, kwa timu zote 14 zinazoshiriki michuano hiyo kuwa dimbani kwenye viwanja tofauti.
Ufuska kwa Marekani, uozo wa TBS kipi ni hatari zaidi?
Makachero wawili wa Serikali ya Marekani wamejiuzulu kwa kuwajibika, baada ya kukumbwa na kashfa ya kufanya ufuska nchini Colombia.
Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu (3)
Katika ya pili ya makala haya nilieleza kuwa unaweza kuibuka uvivu wa kufikiri na baadhi ya watu wakahoji juu ya gharama za kuendesha serikali yenye ukubwa niliopendekeza. Kwa hiyo mimi napendekezo iwepo Serikali ya Tanganyika, ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Muungano.
Mgodi wanunuliwa kwa Sh mil. 90 wauzwa Sh bil. 4.5
Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza ningependa kuchangia hoja ya ubinafsishaji. Kama kuna eneo ambalo nchi hii imeuzwa, kama kuna mchakato ulifanywa wa kuuza taifa hili basi ni mchakato wa ubinafsishaji.