JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Lowassa, vita ya siasa na udini

Mpendwa msomaji ni karibu wiki mbili sasa sijaandika safu hii. Nimepata simu, ujumbe mfupi (sms) za kutosha – wengi wakiuliza kulikoni mbona siandiki. Niwaondoe hofu, kuwa kila kitu ni salama tu, isipokuwa mitanziko ya hapa na pale.

Salaam za Maaskofu wa KKKT kwa Watanzania wote kuhusiana na matukio ya kuchoma moto makanisa ya Kikristo eneo la Mbagala, Dar es Salaam

WAPENDWA KATIKA BWANA, Waumini wa KKKT, Wakristo Wote na Watanzania kwa Ujumla. Neema na Iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo, Amina. Sisi maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), tumepokea kwa…

Kibadeni ashirikishwe kukabili rushwa Ligi Kuu

Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar ya Bukoba, King Abdallah Kibadeni (Mputa), amekuwa wa kwanza kuzungumzia hadharani tuhuma za rushwa katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom, Tanzania Bara.

Drogba kustaafu soka kifua mbele?

Nahodha na mshambuliaji mahiri wa timu ya taifa ya Ivory Coast (The Elephants), Didier Drogba, amefanikiwa kupata nafasi ya mwisho ya kucheza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) 2013, zitakazofanyika nchini Afrika Kusini.

Yah: Julius, sisi tunakulilia katika jehanamu

Wiki moja iliyopita tulikuwa tunamkumbuka Julius, Julius Kambarage Nyerere, yule aliyepata kuwa Rais wenu wa Awamu ya Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius ambaye mimi naweza kumkumbuka vizuri ni yule Waziri Mkuu na baadaye Rais wa Tanganyika kijana kutoka Butiama, mtoto wa Mzee Nyerere Burito na Mama Mugaya wa Nyang’ombe.

Madaraka Nyerere azungumza

Mpenzi msomaji wa JAMHURI,  katika toleo lililopita Madaraka Nyerere, ambaye ni mtoto wa Mwalimu Nyerere alielezea masuala mbalimbali kuhusu Mwalimu, familia yake na kutoa mtazamo wake juu ya hali ya maisha ya sasa ya Watanzania baada ya kifo cha baba wa Taifa. Ifuatayo ni sehemu ya mwisho ya makala hiyo…