Category: MCHANGANYIKO
Wahariri tunataka uhuru halisi wa vyombo vya habari
Alhamisi ya January 10, 2013 kwangu imekuwa siku ya historia ya kipekee. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) lilinikabidhi jukumu la kuwasilisha maoni ya Wahariri kuhusiana na tunayotaka yawemo kwenye Katiba mpya.
BARUA YA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ndugu Mhariri,
Sisi ni wanatunduru, tunaandika barua hii tukiwa na majonzi, mfadhaiko na huzuni kubwa kwani tunaona Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imetutupa kabisa. Tumeamua kuandika barua hii kupeleka kilio chetu kwa Mheshimiwa Rais kupitia gazeti lako, Jamhuri.
Kimbisa ‘aibinafsisha’ Red Cross
Mbunge wa Afrika Mashariki, Adam Kimbisa na wenzake wanatuhumiwa kujitwalia na kujimilikisha Chama cha Masalaba Mwekundu (TRCS) na kukitumia kwa manufaa yao binafsi.
Ujumbe wa mwaka mpya 2013 ulionivutia
Siku mbili kabla ya kuingia mwaka mpya nilipokea ujumbe kutoka kwa watu mbalimbali. Ujumbe huu ulikuwa wa kunitakia heri ya mwaka mpya mimi na familia yangu, lakini mwingine ulikuwa ukigusa masuala ya kitaifa na kimataifa. Nimepoke meseji nyingi, hivyo si rahisi kuziweka zote gazetini, isipokuwa hizi mbili tu nilidhani niziweke.
Kila kukicha aheri ya jana
Heri ya mwaka mpya wa 2013 wana-JAMHURI wenzangu, hongera na poleni kwa machovu yote.
Najua sana wengine ndiyo wanaangalia tena salio kwenye akaunti zao, kwenye waleti na chenji kwenye watoto wa meza nyumbani na ofisini.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (5)
Yuko mwandishi mashuhuri wa habari Visiwani Zanzibar, aliyewahi kuwa mwandishi wa habari wa aliyekuwa Waziri Kiongozi, Maalim Seif (huyu mimi kiutani namwita “uncle chocolate”), aliandika makala katika Tanzania Daima, “Benjamin William Mkapa ninayemjua” Jumapili tarehe 13 Machi 2008 uk. 13.