Category: MCHANGANYIKO
Sare za ‘Yesu’ zinawakwaza Waislamu
Naandika makala hii nikitambua kwamba wapo watakaoniunga mkono, na wapo mahafidhina watakaonishambulia.
FASIHI FASAHA
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti (7)
Mihadhara hiyo ya Kiislamu inasema kwamba Yesu alikuwa akivaa kanzu. Pili, Wakristo wenyewe katika michoro yao, filamu zao mavazi ya viongozi wao ni uthibitisho wa kutosha wa mavazi hayo.
FIKRA YA HEKIMA
SADC ‘inachechemea’ kuisuluhisha Madagascar
Hatima ya mzozo wa kuwania madaraka nchini Madagascar imeendelea kuwa kitendawili kigumu, baada ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) ‘kuchechemea’ kuutatua.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (6)
Ukweli ni kwamba Wazanzibari wengi zaidi ni watu wa mchanganyiko wa damu mbalimbali -mtu wa rangi yoyote anaweza kuwa Mzanzibari- ni hivi ndivyo vilivyo hivi sasa.
Wahariri tunataka uhuru halisi wa vyombo vya habari
Alhamisi ya January 10, 2013 kwangu imekuwa siku ya historia ya kipekee. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) lilinikabidhi jukumu la kuwasilisha maoni ya Wahariri kuhusiana na tunayotaka yawemo kwenye Katiba mpya.
BARUA YA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Ndugu Mhariri,
Sisi ni wanatunduru, tunaandika barua hii tukiwa na majonzi, mfadhaiko na huzuni kubwa kwani tunaona Serikali ya Rais Jakaya Kikwete imetutupa kabisa. Tumeamua kuandika barua hii kupeleka kilio chetu kwa Mheshimiwa Rais kupitia gazeti lako, Jamhuri.