Category: MCHANGANYIKO
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
RATIBA YA AFCON 2013
Jumanne 22 Januari 2013:
Ivory Coast vs Togo 11:00 jioni
Tunisia vs Algeria 2:00 usiku
Balotelli wa Man City huyooo AC Milan
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Manchester City, Mario Balotelli (22), yupo mbioni kuhamia AC Milan.
Kivumbi tena Ligi Kuu Bara
Baada ya kusimama kwa zaidi ya miezi miwili sasa, kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinarejea tena Jumamosi wiki hii, huku timu za Yanga na Simba zilizokuwa mazoezini nje ya nchi, zikimulikwa zaidi.
Yah: Jamani napenda kuwa rais wa nchi yangu (2)
Mzee Ben akapewa rungu la kutetea uhai wa chama katika uchaguzi huo na akaibuka kidedea, lakini nguvu ya soko la dunia katika bidhaa ikaanza kupungua kutokana na mizizi yake kukomaa ikawa siyo habari tena ya kuwaelekeza Watanzania ambao awali walijifanya wanalipokea kwa shingo upande, wakoloni waliona mianya ya kutawala vitaifa vidogo kwa kisingizio cha uwekezaji.
Habari mpya
- Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
- Waziri Kikwete aitaka Bodi ya Wadhamini NSSF kuzingatia miongozo
- Watanzania waombwa kuchangamkia fursa za masomo India
- Zaidi ya leseni 4,000 kutolewa Mbogwe
- Tanzania, Barbados kuimarisha ushirikiano
- Mkenda: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano sekta ya nguo na mavazi
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
- DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
- Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
- Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
- Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda