Category: MCHANGANYIKO
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
RATIBA YA AFCON 2013
Jumanne 22 Januari 2013:
Ivory Coast vs Togo 11:00 jioni
Tunisia vs Algeria 2:00 usiku
Habari mpya
- Zaidi ya leseni 4,000 kutolewa Mbogwe
- Tanzania, Barbados kuimarisha ushirikiano
- Mkenda: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano sekta ya nguo na mavazi
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
- DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
- Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
- Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
- Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda
- Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine
- Kamati ya Bunge yaridhishwa utekelezaji mradi wa umwagiliaji Nyida, Shinyanga
- Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi
Copyright 2024