Category: MCHANGANYIKO
Ligi ya Mwanza mwendo mdundo
Mashindano ya soka ya Ligi ya Mkoa wa Mwanza msimu huu, yametajwa kuwa na msisimko mkubwa ikilinganishwa na msimu uliopita. Msisimko huo unadhihirishwa na ongezeko kubwa la mashabiki na wapenzi wa soka, wanaojitokeza kushuhudia na kushangilia mechi husika katika viwanja mbalimbali.
Yah: Haya ndiyo maendeleo au tumelogwa? (2)
Mwisho wa makala iliyopita, nilisema nawafahamu waganga wa jadi ambao tukitaka kugangwa inatubidi tuwafuate. Kwa bahati mbaya yawezekana wakawa wametangulia mbele ya haki lakini bado kuna dawa walizoandika ama kuongea juu ya maradhi yetu, hebu tuige kabla hatujawa machizi wa kushinda jalalani.
Uwanja wa Ndege Mwanza ni aibu
Watumiaji wa Uwanja wa Ndege wa Mwanza watakiri kuwa uwanja huo ni kiungo muhimu sana kwa shughuli za kibiashara, kijamii na hata kisiasa.
FASIHI FASAHA
Serikali na kurupushani ya mchezo wa nyoka
Nilipokuwa na umri wa miaka saba hadi 12, nilicheza michezo mingi ukiwamo mchezo wa nyoka. Mchezo unachezwa na idadi sawa ya watoto katika makundi mawili. Kundi la watoto na la wengine wanojifanya kuwa nyoka.
FIKRA YA HEKIMA
Nimeipenda kauli ya Mbowe Mbeya
Kwa mara nyingine, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameendelea kudhihirisha mng’aro wake katika nyaja ya siasa nchini.
Tumechezea elimu, sasa tukumbatie Bima ya Afya
Wiki iliyopita Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na wahariri na waandishi walikutana mjini Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dk. Emmanuel Humba, na maafisa waandamizi wa mfuko huu wameeleza vyema mafanikio chini ya mfuko huu.