Category: MCHANGANYIKO
Waandishi Tanzania, Kenyatta na ukabila
Mpendwa msomaji, Watanzania sasa tunawindana kama digidigi, tunang’oana meno na tunatoboana macho. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Absalom Kibanda, ametekwa na kutendewa unyama huu.
Chinja chinja ya Polisi yatikisa Geita
*Mfanyabiashara auawa, wampora dhahabu, mamilioni
*Mtoto, mke, majirani waeleza ‘sinema’ yote ilivyokuwa
Lukumani Yunge (13) ambaye ni mtoto wa Yemuga Fugungu (31) aliyeuawa wiki moja iliyopita nyumbani kwake katika Kitongoji cha Masota, Kata ya Uyovu Lunzewe wilayani Bukombe, ameeleza namna polisi walivyomlazimisha awaonesha chumba kinachotumiwa na baba yake kuhifadhia dhahabu.
Leo ni leo Man United vs Real Madrid
Leo ni leo, asemaye kesho ni mwongo. Timu maarufu za soka barani Ulaya, Manchester United na Real Madrid, leo zinatinga uwanjani kumenyena katika kinyang’anyiro cha Mabingwa wa Ulaya (UEFA). Manchester United inatinga katika mtanange huo ikiwa inajivunia mshambuliaji wake, Christiano…
RATIBA YA LIGI YA MABINGWA ULAYA (UEFA) 2013
Jumanne Machi 5, 2013 Man. United vs Real Madrid saa 4:45 usiku Dortmund vs Shakhtar Do. Saa 4:45 usiku Jumatano Machi 6, 2013 Juventus vs Celtin …
Ligi ya Mwanza mwendo mdundo
Mashindano ya soka ya Ligi ya Mkoa wa Mwanza msimu huu, yametajwa kuwa na msisimko mkubwa ikilinganishwa na msimu uliopita. Msisimko huo unadhihirishwa na ongezeko kubwa la mashabiki na wapenzi wa soka, wanaojitokeza kushuhudia na kushangilia mechi husika katika viwanja…
Ligi ya Mwanza mwendo mdundo
Mashindano ya soka ya Ligi ya Mkoa wa Mwanza msimu huu, yametajwa kuwa na msisimko mkubwa ikilinganishwa na msimu uliopita. Msisimko huo unadhihirishwa na ongezeko kubwa la mashabiki na wapenzi wa soka, wanaojitokeza kushuhudia na kushangilia mechi husika katika viwanja mbalimbali.