Category: MCHANGANYIKO
Airtel Tanzania sasa kwachafuka
Wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania wametangaza mgogoro na mwajiri wao, wakidai haki ya kuachishwa kazi. Wafanyakazi wanaohusika katika mgogoro huo ni 179 kutoka katika Idara ya Huduma kwa Wateja walioajiriwa kati ya mwaka 2001 na mwaka 2011.
Pole sana kaka Absalom Kibanda
Ninahuzunika juu yako kaka yangu Absalom Kibanda. Moyo wangu umejaa uchungu. Kibanda wamekutenda vibaya, wamekuteka, wamekushambulia na kukujeruhi vibaya! Wamekusababishia kilema.
Ikiwa mahakama huru, tutarajie uchaguzi mpya Kenya
Najua kuwa wanahabari tunaombeleza. Tunaombeleza si kwa sababu ndani ya mwezi huu kuna mwenzetu ameuawa, bali mwenzetu Absalom Kibanda ametekwa, ametolewa jicho, ameng’olewa kucha na kukatwa kodole. Amepewa ulemavu wa kudumu.
Tunahitaji akina Raila Odinga hapa Tanzania
Machi 19, mwaka huu, wakati Tanzania ikisogelea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Uhuru Kenyatta alitangazwa kumshinda Raila Odinga katika kinyang’anyiro cha urais wa Kenya.
FASIHI FASAHA
Je, ni njama za kuhujumu wanahabari?
Kuna njama za kuhujumu na kudhulumu utu na uhai wa wanahabari daima dumu. Njama hizo si ndogo, ni kubwa na zinatekelezwa usiku na mchana na wahalifu Tanzania.
FIKRA YA HEKIMA
Usafiri Dar ni zaidi ya kero
Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na changamoto nyingi, lakini kubwa kuliko zote imejikita katika usafiri wa kutumia magari.