JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mifugo yaharibu Pori la Akiba Maswa

*Wanasiasa, wafanyabiashara washushiwa lawama

Maelfu ya ng’ombe na mifugo mingine imeingizwa ndani ya Pori la Akiba la Maswa.

Inakadiriwa kuwa asilimia 30 hadi 40 ya pori hilo imemezwa na mifugo hiyo. Wingi wake umesababisha wanyamapori wengi wakimbie.

Mjue Bestizzo wa sasa

*Alianza kwa Muumin, kisha Dimond

*Sasa amedakwa na Wema SepetuNi msanii chipukizi, kijana mdogo mwenye umri wa miaka 21. Kwa sasa amedakwa na msanii maarufu na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Huyu kijana si mwingine yeyote bali ni Best Werema maarufu kwa jina la Bestizzo. Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni ya Wema Sepetu inayojulikana kama Endless Fame Production.

Yah: Mtakuwa maskini wa kutupwa mkishakufa

Nakumbuka niliwahi kuwaandikia barua ya kuwataka muwe makini na hayo yanayoitwa maendeleo. Baadhi yenu mlionesha kuipinga kwamba hakuna maendeleo yasiyokuja na mabadiliko ya tabia.

Mawalla: Mfanyabiashara aliyewapenda Wazungu kuliko Watanzania wenzake

Mwanasheria na mmoja wa wafanyabiashara Watanzania vijana, Nyaga Mawalla (pichani chini), amefariki dunia. Amefariki dunia akiwa bado kijana mwenye umri mdogo, lakini mwenye mafanikio makubwa kibiashara.

FASIHI FASAHA

Ulimi mzuri mali, mbaya hatari

Sitafuti mashahidi wa haya nitakayosema, kwani kauli nitakayotoa ni yumkini na yanayotokea hapa Tanzania – ya watu kusema na kutenda mambo bila hadhari.

FIKRA YA HEKIMA

Serikali itangaze elimu ya msingi haitolewi bure tena

Elimu ya msingi hapa Tanzania imeendelea kuwagharimu wazazi na walezi fedha nyingi, licha ya Serikali kutangaza kuwa inatolewa bure (bila malipo yoyote).