Category: MCHANGANYIKO
Mashabiki wamtimua Mourinho Hispania
Mashabiki na wapenzi wa soka nchini Hispania wanatajwa kuwa sababu kuu inayomfanya Kocha wa Timu ya Real Madrid, Jose Mourinho, kuikimbia timu hiyo kutokana na kukosa uhusiano mzuri na wadau hao.
MISITU & MAZINGIRA
Uharibifu misitu: Janga linaloiangamiza Tanzania (3)
Nini kifanyike ili kuiokoa misitu ya asili isiendelee kuharibiwa na kutoweka? Yafuatayo yanafaa kuzingatiwa na kufanyiwa kazi ipasavyo:
Mnataka viashiria vya udini? Hivi hapa
Bunge limepitisha “Azimio la Bunge” linaloitaka Serikali ipambane ili kukomesha viashiria vyote vya udini nchini mwetu. Ni Azimio zuri.
FIKRA YA HEKIMA
Polisi, Sumatra wanalea mawakala matapeli stendi ya mabasi Nyegezi Ukifika kituo cha mabasi cha Nyegezi jijini Mwanza, huwezi kupinga malalamiko kuwa rushwa imenunua utendaji wa maofisa wa Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA).
FASIHI FASAHA
Watanzania tunakinyanyasa, tunakibeua Kiswahihi – 6
Katika makala iliyotangulia niliwagusa baadhi ya Waswahili wanaokinyanyasa Kiswahili, wakiwamo wabunge na wanasiasa. Leo nawatupia macho wafanyakazi katika taasisi na asasi mbalimbali ambazo watendaji wake ndiyo wanaokibeua Kiswahili.
Nchimbi, Kagasheki, Sendeka hamjafanikiwa kumtetea Kinana
Wiki iliyopita mjadala mzito uliotawala hapa nchini, ni taarifa au tuhuma zilizoibuliwa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa. Mchungaji Msigwa amemtuhumu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kuwa anasafirisha pembe za tembo nje ya nchi.