Category: MCHANGANYIKO
Familia ya Barack Obama ni wanamichezo mahiri
Rais wa Marekani, Barack Obama, mke wake, Michelle, watoto wao, Malia na Natasha (Sasha) ni familia ya wanamichezo mahiri.
Barack Hussein Obama ni nani?
Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.
Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba
Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.
Rais + Makamu wawili = Kudumisha Muungano
Mpendwa msomaji, ni katika hali isiyo ya kawaida leo nimelazimika kuandika makala mbili katika Safu hii ya Sitanii. Nimechukua hatua hii kutokana na uzito wa hoja hizi mbili. Mwanzo niliwaza kuzichanganya, lakini nikaona kila moja ina uzito wa ina yake.
CHADEMA, CCM wana siri ya Arusha, Kibanda, Dk. Ulimboka
Mpendwa msomaji, leo najadili mada ya mwelekeo wa kisiasa katika nchi yetu. Nimeijadili mada hii kwa kina katika Kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kinachorushwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi kati ya saa 1:30 na saa 3:00 asubuhi. Katika mjadala ule, nilijaribu kuangalia mustakabali wa taifa hili.
BONIFACE WAMBURA:
Kiwango cha soka kinakua Tanzania
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeeleza kuridhishwa na ukuaji wa kiwango cha mpira wa miguu hapa nchini. Msimamo huo umetolewa na Ofisa Uhusiano wa TFF, Boniface Wambura katika mahojiano maalum na JAMHURI jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
Habari mpya
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
- DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
- Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
- Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
- Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda
- Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine
- Kamati ya Bunge yaridhishwa utekelezaji mradi wa umwagiliaji Nyida, Shinyanga
- Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi
- Rais ashiriki mkutano wa dharura wa SADC kwa mtandao
- Rais Mstaafu Kikwete aenda Japan kwa ziara maalum yenye lengo la kuimarisha elimu
- Tanzania Kushiriki Maonesho ya Expo Osaka mwezi ujao