JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Familia ya Barack Obama ni wanamichezo mahiri

Rais wa Marekani, Barack Obama, mke wake, Michelle, watoto wao, Malia na Natasha (Sasha) ni familia ya wanamichezo mahiri.

Barack Hussein Obama ni nani?

 

Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.

Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba

Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.

Rais + Makamu wawili = Kudumisha Muungano

Mpendwa msomaji, ni katika hali isiyo ya kawaida leo nimelazimika kuandika makala mbili katika Safu hii ya Sitanii. Nimechukua hatua hii kutokana na uzito wa hoja hizi mbili. Mwanzo niliwaza kuzichanganya, lakini nikaona kila moja ina uzito wa ina yake.

CHADEMA, CCM wana siri ya Arusha, Kibanda, Dk. Ulimboka

Mpendwa msomaji, leo najadili mada ya mwelekeo wa kisiasa katika nchi yetu. Nimeijadili mada hii kwa kina katika Kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kinachorushwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi kati ya saa 1:30 na saa 3:00 asubuhi. Katika mjadala ule, nilijaribu kuangalia mustakabali wa taifa hili.

BONIFACE WAMBURA:

Kiwango cha soka kinakua Tanzania

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeeleza kuridhishwa na ukuaji wa kiwango cha mpira wa miguu hapa nchini. Msimamo huo umetolewa na Ofisa Uhusiano wa TFF, Boniface Wambura katika mahojiano maalum na JAMHURI jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.