Category: MCHANGANYIKO
Tenisi wajihami Afrika Mashariki, Kati
Timu ya Taifa ya Tenisi inayoshiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15, imeondoka leo kwenda Nairobi, Kenya kushiriki mashindano ikiwa na matumaini ya kushinda.
Kodi ya simu inarejesha ‘Kodi ya Kichwa’
Taifa letu lipo katika mtikisiko mkubwa. Kuna mjadala mkubwa unaoendelea juu ya uanzishwaji wa kodi ya kumiliki simu. Kodi hii inatajwa na wengi kuwa ni kama kodi ya ‘Kichwa’ iliyobatizwa jina la kodi ya maendeleo baada ya Uhuru.
Tanzania imefikia kilele katika dawa za kulevya
Dawa za kulevya zinazidi kuchafua jina la Tanzania. Zimekuwapo taarifa za orodha ya watu wanaotumia au kuuza dawa hizo hapa nchini, lakini kadri siku zinavyopita tatizo linazidi kuwa kubwa kwa kiwango cha kutisha. Katika hali isiyo ya kawaida, Mtanzania aliyeko kifungoni nchini China ameamua kuanika ukweli wa kinachoendelea Tanzania.
Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame
Mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Frank Maghoba, ameitahadharisha Tanzania, akiitaka kutopuuza kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Tume ya Katiba inataka kutudhulumu?
Mhariri,
Mimi ninaitwa Issa Juma Dang’ada, ninaishi mjini Nzega, mkoani Tabora. Ni Mjumbe wa Baraza la Katiba Wilaya ya Nzega.
Mwandishi wa barua ile si Mwislamu
Mhariri,
Kero yangu ni kwamba ninapinga Barua ya Wasomaji iliyochapishwa kwenye gazeti hili wiki iliyopita. Barua ile imejaa uongo, unafiki na uzandiki. Waislamu wa leo si wa kupelekeshwa na media propaganda.