JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mshiriki Big Brother akiri kubwia ‘unga’

Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika mashindano ya Big Brother Afrika mwaka huu, Huddah Monroe, amekanusha tuhuma dhidi yake kwamba ana Virusi vya Ukimwi kutokana na mwili wake kupungua kupita kiasi.

‘Unga’ unavyowatafuna wasanii wetu

Hali inaonesha kwamba wasanii wa Tanzania wamekuwa wadau wakubwa katika mzunguko wa biashara ya dawa za kulevya.

Bukoba nani anasema ukweli?

Nchi hii kila kukicha inaacha maswali mengi. Mwanzo niliamua kunyamaza, lakini leo naona ni bora nihoji. Nahoji kutokana na taarifa zinazosambaa na kuzua mgogoro mkubwa ajabu katika mji wa Bukoba. Hapa inadaiwa kuna mapapa wawili – Mbunge Balozi Khamis Kagasheki na Meya Anatory Amani.

Ray C awalaani wauza ‘unga’

Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rehema Chalamila maarufu kama Ray C, amewalaani watu wanaofanya biashara ya kuuza dawa za kulevya nchini, akisema wanaharibu maisha ya vijana wengi.

Madudu ya mgodi wa Geita yaanikwa

Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) unadaiwa kukwepa kulipa kodi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Geita kiasi cha Sh bilioni 38.2 tangu mwaka 2007 hadi 2013.

Wakala wa Kaseja kutimuliwa nchini

* Ni yule wa FC Lupopo

Kuna kila dalili kuwa safari ya usajili wa golikipa wa namba moja wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Juma Kaseja, kujiunga na timu ya soka ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kukayeyuka, kufuatia taarifa kuwa huenda wakala wake, Ismail Balanga Bandua, akatimuliwa nchini muda wowote.