JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TEODENSIA MBUNDA

Mwanamke pekee msaidizi wa waziri

Ni asubuhi na mapema siku ya Jumatano napata wazo la kuonana na Msaidizi wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Teodensia Mbunda.

Simba, Sunderland zafunga ‘ndoa’ ya mashaka

Hivi karibuni Tanzania itaanza kufaidika na ushirikiano wa kimichezo na utalii na Klabu ya Sunderland, inayoshiriki Ligi Kuu ya England. Hatua hii inafuata baada ya uongozi wa timu hiyo kutua nchini hivi karibuni na kukutana na uongozi wa Serikali kupitia Bodi ya Utalii nchini.

Mayweather avuna Sh bilioni 67 kwa dakika 36

Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather (36) atalipwa dola milioni 41.5 za Marekani (Sh bilioni 67.23), baada ya kumshinda Saul ‘Canelo’ Alvarez (23). Hili ni pambano la 45 kwa Mayweather akiwa ameshinda yote.

Lukuvi aijibu Mahakama kuhusu dawa za kulevya

Septemba 13, mwaka huu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Uratibu na Bunge), William Vangimembe Lukuvi, alifanya mkutano na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam, ambapo alizungumzia tatizo la dawa za kulevya hapa nchini. kutokana na ukubwa wa tatizo hilo, JAMHURI imeamua kuchapisha hotuba ya waziri huyo katika mkutano huo neno kwa neno kama ifuatavyo:

BARUA ZA WASOMAJi

JAMHURI endeleeni kupinga maovu Tanzania

Ni muda mrefu toka nimeanza kufuatilia maandishi na machapisho ya gazeti hili.Nilipata kujiuliza maswali mengi na kuhangaika kwa muda wa miezi sita kutafakari na kujiuliza nini maana ya Jamhuri na ni kwanini wahusika na bodi nzima iliamua kuliita gazeti hili kwa jina la JAMHURI.

Mbio za Soweto Marathon matatani

Ugomvi umeibuka baina ya watayarishaji wa Mbio za Soweto Marathon nchini Afrika Kusini, wakisema hazitafanyika Novemba 3, mwaka huu.