Category: MCHANGANYIKO
Kisa cha Ashanti United kushika mkia Ligi Kuu
Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara maarufu kama Ligi ya Vodacom, inazidi kushika kasi. Moja na vitu ambavyo vimeongeza chachu katika ligi ya msimu huu ni jinsi baadhi ya timu zilizopanda msimu huu zinavyoleta upinzani kwa vigogo wa soka hapa nchini.
Rais Kikwete usikubali waziri huyu kuchafua jina lako
Tanzania ni nchi inayoheshimika sana kimataifa. Inaheshimika kwa kuwa moja ya nchi chache duniani zilizokubali kuendesha mambo yake kwa uwazi. Imetia saini mkataba wa Open Government Initiative (Serikali ya Uwazi) uliohasisiwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Si hilo tu, Rais Jakaya Kikwete amekuwa kiogozi wa kwanza kusikia kilio cha Watanzania juu ya Katiba mpya.
Ujenzi wasimama uwanja wa Kombe la Dunia
Kazi ya ujenzi katika uwanja utakaotumika kwa mashindano ya soko Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil, zimesimamishwa baada ya Jaji wa Mahakama kuhofia usalama.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
Habari mpya
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
- DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
- Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
- Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
- Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda
- Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine
- Kamati ya Bunge yaridhishwa utekelezaji mradi wa umwagiliaji Nyida, Shinyanga
- Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi
- Rais ashiriki mkutano wa dharura wa SADC kwa mtandao
- Rais Mstaafu Kikwete aenda Japan kwa ziara maalum yenye lengo la kuimarisha elimu
- Tanzania Kushiriki Maonesho ya Expo Osaka mwezi ujao