Category: MCHANGANYIKO
Yah: Kama mimi ningelikuwa Manumba ama wasaidizi wake?
Sasa hivi napenda nikiri wazi kwamba kama kuna mtu ama wana wakati mgumu wa kuingalia rediocall ama kusikilizi simu zao za mikononi za kikazi na siyo kindugu ama urafiki hawana muda wa kuangalia televisheni na kusikiliza redio basi ni kundi zima la Manumba mwenyewe na hao RCO wake wote, poleni lakini ndio kazi mliochagua kutokana na masomo yenu.
Dogo Aslay afurahia maisha ya muziki
Staa wa Bongo katika muziki wa kizazi kipya Aslay Isiaka, ‘Dogo Asley’ ambaye makazi yake ni jijini Dar es Salaam amesema kuwa sasa anfurahia maisha ya muziki kutokana na maendeleo aliyoyapata.
Madee – Nidhamu siri ya mafanikio
Msanii maarufu wa wa muziki nchini, Hamad Ally, maarufu kama ‘Madee’ (pichani) kutoka katika kundi la Tip Top Connection la Manzese, jijini Dar es Salaam, amesema kuwa siri ya mafanikio yake katika muziki ni nidhamu.
Mechi klabu bingwa Ulaya kuendelea leo
Wapenzi wa kandanda la Ulaya leo watakuwa na wakati mzuri wa kushuhudia mechi kadhaa za michuano ya soka klabu Bingwa barani Ulaya zikichezwa katika viwanja mbalimbali barani humo.
Ubovu viwanja vya soka usifumbiwe macho
Ligi kuu ya sokaTanzania Bara inaendelea katika viwanja mbalimbali hapa nchini. Hii ndiyo ligi kubwa hapa nchini ambayo imekuwa ikifuatiliwa na wapenzi pamoja na wadau mbalimbali wa soka nje na ndani ya nchi.
Michezo inapozidi kupoteza mwelekeo
Miongoni mwa vitu vinavyowavutia wapenzi wa michezo ni kuona nchi inasonga mbele kimichezo, kwa kufanya vizuri hadi ngazi ya kimataifa.