Category: MCHANGANYIKO
Meya Mwanza, madiwani wapimana ubavu
- Mabishano, matusi vyakwamisha kikao
- Polisi washindwa, Meya atumia mabaunsa
Ni dhahiri kuwa sasa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza hapakaliki. Mgogoro baina ya Meya Henry Matata na madiwani watatu aliowafukuza, unazidi kufukuta na kuhatarisha maendeleo ya wananchi.
Mwigamba ni bomu linalosubiri wakati
Mwaka 2008 nilisoma makala aliyoandika Samson Mwigamba. Nilipoisoma makala hayo nilibaini kuwa Mwigamba ni bomu linalosubiri wakati, lakini watu waliokuwa wamepofushwa na mapenzi dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliishangilia makala ile.
Toure atajwa tuzo za FIFA
Mchezaji wa kiungo wa kati wa Manchester City, Yaya Toure, ni kati ya wachezaji 23 waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora zaidi kwa mwaka huu wa tuzo za Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Wanariadha Kenya kuchunguzwa
Kenya imekosolewa na Shirika la Kudhibiti matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli kwa kukosa kufanya uchunguzi katika ongezeko la visa vya wakimbiaji wa Kenya wanaoshukiwa kutumia dawa hizo.
Malinzi: Simba kuweni na amani
Wiki iliyopita Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilimpata rais mpya, Jamal Malinzi, anayechukua mikoba ya aliyekuwa Rais wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, aliyeongoza kwa kipindi cha miaka ninane mfululizo.
Wakimbia makazi kukwepa operesheni okoa
Siku chache baada ya maofisa wanaoendesha Operesheni Okoa Mazingira iliyofanyika katika Kijiji cha Usinge wilayani Kaliua, kutuhumiwa kumuua, Kipara Issa (39), kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume na sheria, baadhi ya wanaume katika kijiji hicho wamelazimika kuzikimbia familia zao kwa hofu ya kukamatwa na maofisa hao.