Category: MCHANGANYIKO
Mifuko ya Jamii iwafikie wajasiriamali vijijini
vijini kiNdugu Mhariri,
Mabadiliko ya sheria katika sekta ya hifadhi ya jamii Tanzania yanapokelewa kwa furaha kubwa na wananchi wa kawaida.
TANROADS Kagera kuna ubadhirifu?
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Kagera, Johnny Kalupale, anatuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha pamoja na unyanyasaji wa watumishi walioko chini yake mkoani humo.
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume -3
Homoni ya kiume iitwayo testestorone, ambayo hutolewa na korodani husimamia kazi ya uume kama vile kuleta msisimko, hamu ya tendo la ndoa, kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa.
Yah: Mheshimiwa Kikwete: wananchi wanasema yatosha!
Salamu nyingi sana kama mchanga wa pwani zikufikie mahali popote ulipo, hofu na mashaka ni juu yako uliye mbali na upeo wa macho yangu, na baada ya salaam je hujambo.
Rais anasubiri nini kuifumua Wizara ya Elimu
kama tujuavyo imebaki miaka miwili Rais aliyepo madarakani Jakaya Mrisho Kikwete amalize muda wake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tayari tumemsikia Rais Kikwete akijivunia utendaji wake Amesema kwamba wale walioendelea kumsema vibaya kwamba chini ya uongozi wake Tanzania haikupata maendeleo wataoona aibu atakampomaliza muda wake. Atakuwa ameiacha Tanzania ikiwa na maendeleo yasiyo na kifani.
Mwarobaini hutibu mnyauko wa migomba
Mwarobaini ni mojawapo ya mimea maarufu yenye kinga dhidi ya wadudu waharibifu. Ndani yake kuna dawa inayoweza kutolewa kwa urahisi na kutayarishwa na kutumika kama dawa ya mimea ya kuulia wadudu.