Category: MCHANGANYIKO
Yah: Litakuwa Taifa la watoto, wazee
Nianze kwa kuwapongeza kutimiza miaka makumi kadhaa ya Muungano, yaani Muungano ambao leo mnadai kuwa una kero ambazo sisi wakati tukiungana tuliona siyo kero za Muungano bali ni chachu za Muungano, na ndizo zinazofanya utamu wa Muungano kuwapo. Sina hakika,…
Nyalandu aweweseka siri kuvuja
*Aanza kuwasaka wabaya wake, awatisha Aprili 22, mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na baadhi ya watendaji waandamizi wa Wizara hiyo mjini Dodoma, alitoa vitisho akiahidi kuwashughulikia wote aliodai kuwa wanavujisha siri za ofisi kwa watu…
Kipande abanwa Bandari
Yah: Tusichezee lugha yetu, wengine wanajuta
Wakati tunatawaliwa, wakoloni wote kwa awamu zao yaani Wajerumani, Waingereza na hata Wareno na Waarabu, wakati wakipita kwa biashara zao sisi Wazaramo na Wandengereko tulikuwa tunawasiliana kwa shida sana. Kuna wakati tulikuwa tunatumia lugha ya alama kuwasiliana. Baada ya kuanza…
NUKUU
Mwalimu Nyerere: Tudhibiti tofauti za maskini, matajiri “Tofauti kati ya watu maskini na watu matajiri zinaongezeka Tanzania. Inafaa tuwe macho. …lazima tuendelee kutumia Sheria za Nchi, na mipango mbalimbali ya Serikali, kuona kuwa tofauti hizi hazifikii kiasi cha kuhatarisha umoja…
Mwadui ni bora kuliko nyingine nchini – Julio
Kocha wa Timu ya Soka ya Mwadui ya mkoani Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ametamba kwamba timu hiyo itakuwa bora katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuliko zote zinazoshiriki.
Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Julio amesema kuwa timu hiyo itatoa upinzani mkali kwa timu za Simba, Yanga na Azam FC.
“Simba na Yanga hakuna mpira pale bali kuna makelele, niliwahi kufundisha timu ya Kajumulo, sikuwahi kufungwa na Simba wala Yanga na hata sasa nikifanya usajili wangu hakuna timu ya kunifunga kati ya timu hizo,” amesema Julio na kuongeza:
Habari mpya
- Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
- Waziri Kikwete aitaka Bodi ya Wadhamini NSSF kuzingatia miongozo
- Watanzania waombwa kuchangamkia fursa za masomo India
- Zaidi ya leseni 4,000 kutolewa Mbogwe
- Tanzania, Barbados kuimarisha ushirikiano
- Mkenda: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano sekta ya nguo na mavazi
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria
- Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
- DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
- Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
- Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
- Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda