JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Athari za Serikali kupuuza vyombo vya habari

Sisi sote tunatarajia vyombo vya  habari na mchango wake wa Taifa letu. Kwa jumla vyombo vya habari hufanya kazi  tatu. Huelimisha, huchochea maendeleo na huburudisha. Lakini pia vyombo vya habari hupunguza tatizo la ajira. Hutoa ajira.

Ujangili Ruaha umepungua, haujakwisha

Alhamisi Oktoba 16, mwaka huu napigiwa simu na Ofisa Habari wa Umoja wa Mataifa (UN), Stella Vuzo, kuwa nimeteuliwa kwenda kuripoti kazi zinazofanywa na Umoja huo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.

Uwezo wa kumpiga tunao, Sababu ya kumpiga tunayo

Hotuba ya Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa tarehe 2 Novemba, 1978 alipokuwa akitangaza vita vya kupambana na uvamizi wa majeshi ya Idd Amini katika ukumbi wa Diamond Jubilee

Sumaye awe mkweli, hajawahi kuichukia rushwa

Nianze kwa maneno mepesi. Anachokifanya sasa hivi Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, ni kutapatapa. Amegeuka kuwa mtu wa kulalama na kulalamika kila uchao utadhani ndiyo kwanza “anazaliwa”, na wala hajawahi kuwa mmoja wa  vigogo wakubwa kabisa Tanzania.

Tusifanye majaribio katika urais 2015

Kadri muda unavyozidi kusonga mbele naona joto la kuwania urais linapanda. Joto hili linapanda kwa wanasiasa, wapambe wao na hata viongozi walioko madarakani wanaanza kuangaliangalia nani watamsaidia kushika dola kisha aendelee ‘kuwaenzi’.

Nyalandu aichongea Ikulu kwa Marekani

*Aona Pinda hana msaada, awatafuta TAHOA

*Alalama wenzake serikalini wanamhujumu

Na Mwandishi Maalumu