Category: MCHANGANYIKO
Korea Kaskazini yaitisha Marekani
Yafanya maonesho ya makombora hatari Wakorea wasema wako tayari kwa mapigano Pyongyang, Korea Kaskazini Korea Kaskazini imeadhimisha miaka 105 ya kuzaliwa kwa mwasisi wa taifa hilo, Kim II-sung, kwa kufanya maonesho ya silaha za nyuklia. Maonesho hayo…
Mwaka mmoja wa tamu na chungu wa JPM
Nimewasikia viongozi wangu wa chama tawala na nimewasikia viongozi wangu wa vyama vya upinzani. Wote wanazungumzia utendaji kazi wa Rais wangu, John Pombe Magufuli, katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Novemba 5, 2015 hadi Novemba 5, 2016. Sina budi kukiri…
FFU waikosesha TRA mabilioni
Serikali ya Awamu ya Tano ikiwa inahaha kuongeza mapato, kampuni moja ya mafuta inayolipa kodi ya wastani wa Sh bilioni 3 hadi Sh bilioni 4 kwa mwezi, imefungiwa ofisi zake kutokana na mgogoro wa ardhi usioihusu, JAMHURI limebaini. Kwa hatua…
Barua ya elimu kwa Rais Magufuli
Mheshimiwa Rais, nianze kwa kukupa pole kwa majukumu mazito uliyonayo ya kulijenga taifa letu. Wananchi wanyonge wamekuwa na imani kubwa na wewe kutokana na juhudi zako ambazo umeishazionyesha katika kuwaletea maendeleo tangu uingie madarakani. Tunakutia moyo na kukuombea uendelee na…
Yah: Serikali lazima itishe watu ili mambo yaende
Kuna wakati niliwahi kumsikia Mwalimu Julius Nyerere akihutubia wananchi juu ya kulipa kodi. Katika hili alisema serikali ni lazima wawe wakali ili kila mtu aweze kulipa kodi, kodi ni kwa maendeleo ya nchi na watu wake, haiwezekeni Serikali icheke na…