Category: MCHANGANYIKO
TANZIA: ZUBER MSABAHA ALIYEKUWA MTANGAZAJI WA REDIO FREE AFRIKA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa mtangazaji maarufu wa kipindi cha bolingo time cha redio free ya Mwanza, Zuber Msabaha amefariki dunia na maziko yake ni leo Mabatini Jijini Mwanza. Mungu ailaze roho ya marehemu Msabaha alikuwa na mvuto na uhodari wa kuendesha kipindi cha…
Wizara ya Lukuvi ‘yashindwa’ Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi haijatekeleza agizo la Ofisi ya Waziri Mkuu, kuwachukulia hatua watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Kahama kwa uzembe na kukaidi agizo la kushughulikia uporwaji ardhi na nyumba ya mkazi wa kijiji cha…
How to Find Useful Site Online
Whether you require information about how to submit an application for new registration or simply will likely need to understand how to modify your privately owned info, the site has a manual on fit your every require. The news info…