Category: MCHANGANYIKO
Yanga Yachezea Kichapo cha Mbwa Mwizi Kutoka kwa USM Alger (4-0)
Kikosi cha Yanga kimeanza vibaya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika katika hatua ya makundi kwa kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa USM Alger katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Julai 5 1962. Yanga iliyokuwa inawakosa nyota…
Real Madrid Yaikomalia Barcelona Camp Nou
Baada ya ubishi na headlines za muda mrefu kuhusiana na mchezo wa El Clasico kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Madrid katika uwanja wa Camp Nou ni timu gani itaibuka mbabe dhidi ya mwenzake, hatimae usiku wa May…
Yah: Naamini wengi wetu ni bendera fuata upepo
Kuna wakati niliwahi kuandika barua mahususi katika uga huu, nikijaribu kuelezea madhara ya watu kuiga mambo na kushabikia bila kujua kile ambacho wanaiga kina madhara gani, wapo waigaji wa mambo bila kujua labda wanakoiga wanaigiza na siyo uhalisia. Mimi ni…
SIMBA YAPATA HARUFU YAUBINGWA BAADA YA KUITANDIKA YANGA 1-0
Bao pekee la Erasto Nyoni limeipa Simba ushindi dhidi ya watani zao wa jadi Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam . Nyoni alifunga bao hilo katika dakika ya 37 kwa…
SIMBA VS YANGA LEO SAA KUMI KAMILI JIONI
Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaowakutanisha Simba na Yanga utakaochezwa leo Jumapili 29,2018 katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, utakuwa mgumu Zaidi ya chuma kutokana na historia ya timu hzio zinapokutana huwa ni vigumu kutabiri. Lakini…