JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

APR ya Rwanda Yaomba Kubadiishiwa Ratiba Mashindano ya Kagame CUP

Baada ya kuthibitisha rasmi kuwa watashiriki michuano ya KAGAME CUP inayotaraji kuanza Juni 28 2018, uongozi wa klabu ya APR umeomba kubalidishwa ratiba. Hatua hii imekuja mara baada ya CECAFA kuwapangia APR kucheza na Singida United Juni 29 itakayokuwa Ijumaa…

‘Spiderman’ aliyemuokoa mtoto Ufaransa arejea kwao Mali

Mhamiaji raia wa Mali Mamoudou Gassama, ambaye alipata umaarufu kote duniani mwezi uliopita wakati alikwea jengo mjini Paris, Ufaransa kumukoa mtoto, amesema amefurahishwa sana kurudi kwao Mali kutembea. “Nina furaha sana. Nina furaha sana sana kwa sababu kila mtu alikuja…

Messi: Inaniuma sana kukosa penalti Kombe la Dunia

Lionel Messi amesema inamuumiza sana baada ya Penati yake dhidi ya Iceland kuokolewa wakati Argentina ilipokutana na Iceland. Mkwaju wa penati wa Mchezaji huyu,30 na nyota wa Barcelona haukuleta madhara mbele ya mlinda mlango Hannes Halldorsson na kufanya timu hizi…

Simba Sc Kucheza Kagame Bila Mastaa wake

SIMBA imamua kuwapumzisha wachezaji wake mastaa wa kikosi cha kwanza katika michuano ya Kombe la Kagame iliyopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa mastaa ambao wameachwa katika mashindano hayo ni Mnyarwanda Haruna Niyonzima na Jonas Mkude. Michuano hiyo imepangwa…

Kocha Aliyetimuliwa Simba Apata Dili nchini Libya

SIKU chache baada ya uongozi wa Simba kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Mfaransa, Pierre Lechantre, imebainika kuwa kocha huyo amepata dili nono nchini Libya katika Klabu ya Al Nasr inayoshiriki ligi kuu ya nchi hiyo.   Hivi…

Abass Tarimba Ataja Mikakati ya Kuivusha Yanga

Wakati presha ya usajili wa wachezaji wapya kwa klabu za hapa Tanzania ukiendelea kushika kasi, Mwenyekiti wa Kamati Maluum ya kuivusha Yanga wakati wa mpito, Abass Tarimba, amesema jukumu kubwa la Kamati hiyo ni kushauri. Tarimba ameeleza kazi hiyo wanaifanya…