JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yanga Sc Dimbani Leo Dhidi ya Gor Mahia ya Kenya

Yanga Sc leo inashuka dimbani kupambana na Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa majira ya saa moja jioni jijini Nairobi, Kenya Tutarajie matokeo ya aina gani kwenye…

Ndugu Rais wastaafu walichotuambia tumekielewa?

Ndugu Rais, mwanadamu mambo yake yanapomwendea kwa ufanisi mkubwa haombi ushauri. Anaomba ushauri yule ambaye kuendelea kwake kunampatia wasiwasi. Ndiyo kusema kama tumekubali kuwa tunahitaji ushauri kutoka kwa viongozi wetu wakuu wastaafu sasa, tunakiri kuwa kuna tatizo katika kuongoza au…

Hawa Hapa Wachezaji waliobeba Tuzo Kwenye Kombe la Dunia 2018

KIUNGO na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Croatia, Luka Modric ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 na kupewa Mpira wa Dhahabu wakati timu yake ikipoteza mchezo wao wa fainali kwa…

Angalia Ufaransa Walivyobeba Kombe la Dunia – Video

TIMU ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kunyakua Ubingwa wa Dunia mwaka 2018 baada ya kuifunga Croatia kwa bao 4-2.   Mabao ya Ufaransa yamewekwa kimiani na Mario Mandzukic aliyejifunga, Antoine Griezmann aliyefunga kwa njia ya penati pamoja, Paul Pobga pamoja…

Azam Yafanikiwa Kutetea Ubingwa Kombe la Kagame Yaitandika Simba 2-1

AZAM FC imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame baada ya jana Ijumaa kuifunga Simba mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Katika mchezo huo ulioanza majira ya saa 12 jioni, Azam ilikuwa ya…